December 2, 2015

Uchunguzi Wa Bundi Ya Euro



Fridah Nyanchama                                                        2/12/2015












Mkuu wa mashtaka Keriako Tobiko amewaangiza maafisa wa polisi na idara za kubambana na ufisadi kuchunguza madai ya ufisadi kuhusu uuzaji wa bundi za euro na kuwasisirisha ripoti kwa muda wa siku kumi. Tobiko amesema maafisa hao wanafaa kutadhimini stakabadhi muhimu na kuwasilisha ushahidi kuhusu madai yanayoibuliwa, haya yamejiri wakati wizara ya fedha ikisema muungano wa code una uhuru wa kuchunguza jinsi fedha zilizotokana na uuzaji wa bundi ya euro zilivyo tumika. Waziri Henry Rotiich amesema kwamba wizara hio imemwalika kinara wa Code Raila Odinga kwenye ofisi zake Ijumaa saa nne asubuhi ili kuchukua stakabadhi kisha kuzichunguzaViongozi wa muungano wa Cord, walimtaka Rais Uhuru Kenyatta kuacha hasira serikali yake inapotakiwa kujibu maswali kuhusu kashfa za ufisadi.
Walisema kwamba wako tayari kutoboa mengi zaidi kuhusu kashfa za ufisadi serikalini na hasa pesa za mkopo wa dhamana wa Euro zilivyoporwa.“ Bw Rais hasira ni hasara. Meza hasira yako na uoongoze vita dhidi ya ufisadi ambao  ndio unatatiza serikal yako.” Alisema kiongozi wa Cord Raila Odinga.


 https://soundcloud.com/eyereen-931981221/02codemp3

MAFURIKO NAKURU



IRENE NGINA                                                                                            2/12/2015





 









Picha kwa hisani ya standard

Zaidi ya familia sitini zimesalia bila makao katika kijiji cha kaptembo huko Nakuru, baadaya nyumba zao kusombwa na mafuriko. Familia hizo sasa zimetafuta makao mbadala, katika darasa za shule, huku wakitoa wito kwa serikali kuwapa msaada.
Wakiongea na kundi la wanahabari huko Nakuru, wamemtaka gavana kinuthia mbugua, kutumia fedha alizotangaza kutegwa  kukabiliana na el nino kutatua hali hio. 

 https://soundcloud.com/eyereen-931981221/mafuriko-nakurump3

KIFO CHA ALEX MMOJA WA "GHETTO KIDS"




Irene Ngina                                                                                                              2/12/2015

 












Alex (katikati)
Picha kwa hisani ya wikipedia

 Mtoto alex ambaye ni mmoja wa watoto wanaounda kundi la “Ghetto kids” ambao wanafanya kazi na msanii toka uganda Eddy Kenzo, amefariki dunia huku mwingine kwa jina Patricia yuko hali mbaya baada ya kupata ajali ya baiskeli.
 Kwa mujibu wa William Mashal ambaye ni mmoja wa watu wao wa karibu sana amesema kwamba wawili hao walikuwa wakiendesha baiskeli ambayo ilikatika breki na kutumbukia mtaroni. Eddy Kenzo ametangaza kifo cha Alex jumatatu usiku huko Kampala Uganda.
Alex na Patricia walikuwa miongoni mwa “Ghetto kids” ambao walijipatia umaharufu duniani baada ya kucheza video ya wimbo wa Sityalos wa Eddy Kenzo na kuwa miongoni ya video zilizotazamwa ulimwenguni kote.

 https://soundcloud.com/eyereen-931981221/kifo-mp3

GARY NEVILLE APPOINTED AS VALENCIA COACH

By Rene Otinga.

Gary Neville during his time at Manchester United.
Former Manchester United defender Gary Neville has been appointed the head coach of Spanish outfit Valencia, following the stepping down of Nuno Espirito Santo.

Gary, who played alongside his brother Phil Neville at Manchester United will be reunited with his brother at the Spanish side where Phil Neville worked as Nuno Santo's assistant from July this year.

The 40-year-old, who will take charge officially on Sunday, will remain part of the England coaching set-up.

Gary Neville will be forced to step down from the pundit position he had occupied at Sky Sports in order to pursue his coaching ambitions.
In a statement with the British press, he said, : "I am absolutely thrilled to be given this opportunity with Valencia."

Valencia currently sit ninth in the La Liga standings, having accrued 19 points from 13 games.