PROGRAMS


7-10am                     Funniest Campus Breko
Kikosi kikubwa! Moto wa kuotea mbali!! Mchanganyiko wa kicheko,siasa, muziki bomba wa afrika na kote duniani!!! 

10-1pm                     Mtandao Wa Kazi
Fahamu umuhimu wa kuchapa kazi, jikoni, kimapenzi hadi kibiashara!  

2-4pm                        Tuko Baze 
Two hours za  mziki wa reggae, roots, culture na riddim back to back...heheh!! Awoooh!!!Kutoka kwa wasanii wa humu nchini na wa kimataifa. Puuullll upppp!!!

4-7pm                        The Drive 
Hehehe!! Sasa hapa ndo mambo kwisha...utapata special doze ya kukutuliza tu  baada ya siku ndefu! Ni story tupu na vichekesho!  

8-11pm                     Burudani Mashariki
Burudani kabambe,100% boiling point na umbea wa wasanii wa kutoka africa mashariki, marequest, kugoteana, countdown na mixx za dj hb &redbone, noma sana!! Yote tisa kumi ni kwamba,  mapenzi yapo hewani, kuzama kutoa ama kupika malenge kiustarabu...hehehee!!!! Kudunda na kuganga vipaji ni lazima!!!! 

11-1pm                     Late Night Breeze 
Pata mchumba, imarisha uhusiano wako na mpeziwo, jua njia za kipekee za kumutosheleza na kumfanya atake "malenge"zaidi.

5-7am                        Baraka Za Asubuhi 
Jijenge na kujisafisha kiroho na muziki wa gospel kwenye baraka za asubuhi



No comments: