Na David Wafula
mapema hii, taifa lenye idadi kubwa zaidi Afrika, Nigeria iliapisha mawaziri wake wapya, Moja ya
changamoto kubwa ambayo Rais Mohammadu Buhari itakuwa vita dhidi ya Boko Haram,
changamoto ambayo ameapa kuimaliza ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Kundi hili la wapiganaji
linashutumiwa kutekeleza maelfu ya maafa na kusababisha watu zaidi ya millioni mbili kukimbia
makwao. "tuliamshwa na milio ya risasi, kwanza nilidhani ni majeshi labda wanajaribu silaha zao,
punde niligundua kwamba ni makabiliano, nilijawa na hofu, kila mtu alizama katika harakati za
mguu niponye, familia ilisambaratishwa, kwa masiku tulitembea vichakani, wengine tulibahatika
kupata maji na maziwa kutoka kwa wachungaji wa mifugo, wanawake na watoto walipata lishe ya
matunda, wakati tu tilitia nanga mjini nikagundua kwamba baba yangu aliuawa" mohammed
anataurifu hii hapa taarifa zaidi....
mapema hii, taifa lenye idadi kubwa zaidi Afrika, Nigeria iliapisha mawaziri wake wapya, Moja ya
changamoto kubwa ambayo Rais Mohammadu Buhari itakuwa vita dhidi ya Boko Haram,
changamoto ambayo ameapa kuimaliza ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Kundi hili la wapiganaji
linashutumiwa kutekeleza maelfu ya maafa na kusababisha watu zaidi ya millioni mbili kukimbia
makwao. "tuliamshwa na milio ya risasi, kwanza nilidhani ni majeshi labda wanajaribu silaha zao,
punde niligundua kwamba ni makabiliano, nilijawa na hofu, kila mtu alizama katika harakati za
mguu niponye, familia ilisambaratishwa, kwa masiku tulitembea vichakani, wengine tulibahatika
kupata maji na maziwa kutoka kwa wachungaji wa mifugo, wanawake na watoto walipata lishe ya
matunda, wakati tu tilitia nanga mjini nikagundua kwamba baba yangu aliuawa" mohammed
anataurifu hii hapa taarifa zaidi....