November 15, 2015

Mwanamke anayetetea walio na virusi vya Ukimwi

Na David Wafula

 14 Oktoba 2015

 Phindile Sithole-Spong ni mwanaharakati kutoka Afrika Kusini anayeishi na virusi vya Ukimwi.

Amekuwa akiongoza juhudi za kukabiliana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya

Ukimwi na hususan miongoni mwa vijana. taarifa hii inayosimuliwa na David Wafula.



No comments: