Na David Wafula
14 Oktoba 2015
Phindile Sithole-Spong ni mwanaharakati kutoka Afrika Kusini anayeishi na virusi vya Ukimwi.
Amekuwa akiongoza juhudi za kukabiliana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya
Ukimwi na hususan miongoni mwa vijana. taarifa hii inayosimuliwa na David Wafula.
14 Oktoba 2015
Phindile Sithole-Spong ni mwanaharakati kutoka Afrika Kusini anayeishi na virusi vya Ukimwi.
Amekuwa akiongoza juhudi za kukabiliana na unyanyapaa dhidi ya watu wanaoishi na virusi vya
Ukimwi na hususan miongoni mwa vijana. taarifa hii inayosimuliwa na David Wafula.
No comments:
Post a Comment