Na David Wafula
12 Novemba 2015
Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini
Somalia. Taasisi ya Wanahabari Wanaopigania haki imelituhumu jeshi hilo kujiingiza katika masuala
yanayowaletea faida. Taasisi hiyo imewalaumu baadhi ya maofisa wa jeshi kushirikiana katika
biashara haramu na wapiganaji wa Al Shabaab. Sikiliza mahojiano ya David Wafula na Msemaji wa
Jeshi la Kenya Kanali David Obonyo, ambaye anakanusha tuhuma hizo
12 Novemba 2015
Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini
Somalia. Taasisi ya Wanahabari Wanaopigania haki imelituhumu jeshi hilo kujiingiza katika masuala
yanayowaletea faida. Taasisi hiyo imewalaumu baadhi ya maofisa wa jeshi kushirikiana katika
biashara haramu na wapiganaji wa Al Shabaab. Sikiliza mahojiano ya David Wafula na Msemaji wa
Jeshi la Kenya Kanali David Obonyo, ambaye anakanusha tuhuma hizo
No comments:
Post a Comment