November 15, 2015

Jeshi la Kenya latuhumiwa Somalia

Na David Wafula

12 Novemba 2015

 Jeshi la Kenya limetuhumiwa kujihusisha na biashara, badala ya kufanya kazi zinazowahusu nchini

Somalia. Taasisi ya Wanahabari Wanaopigania haki imelituhumu jeshi hilo kujiingiza katika masuala

yanayowaletea faida. Taasisi hiyo imewalaumu baadhi ya maofisa wa jeshi kushirikiana katika

biashara haramu na wapiganaji wa Al Shabaab. Sikiliza mahojiano ya David Wafula na Msemaji wa


Jeshi la Kenya Kanali David Obonyo, ambaye anakanusha tuhuma hizo




No comments: