November 15, 2015

Athari ya Boko Haram

Na David Wafula

 mapema hii, taifa lenye idadi kubwa zaidi Afrika, Nigeria iliapisha mawaziri wake wapya, Moja ya

changamoto kubwa ambayo Rais Mohammadu Buhari itakuwa vita dhidi ya Boko Haram,

changamoto ambayo ameapa kuimaliza ifikapo mwishoni mwa mwaka huu. Kundi hili la wapiganaji

linashutumiwa kutekeleza maelfu ya maafa na kusababisha watu zaidi ya millioni mbili kukimbia

makwao. "tuliamshwa na milio ya risasi, kwanza nilidhani ni majeshi labda wanajaribu silaha zao,

punde niligundua kwamba ni makabiliano, nilijawa na hofu, kila mtu alizama katika harakati za

mguu niponye, familia ilisambaratishwa, kwa masiku tulitembea vichakani, wengine tulibahatika

kupata maji na maziwa kutoka kwa wachungaji wa mifugo, wanawake na watoto walipata lishe ya

matunda, wakati tu tilitia nanga mjini nikagundua kwamba baba yangu aliuawa" mohammed

anataurifu hii hapa taarifa zaidi....




No comments: