December 2, 2015

MAFURIKO NAKURU



IRENE NGINA                                                                                            2/12/2015





 









Picha kwa hisani ya standard

Zaidi ya familia sitini zimesalia bila makao katika kijiji cha kaptembo huko Nakuru, baadaya nyumba zao kusombwa na mafuriko. Familia hizo sasa zimetafuta makao mbadala, katika darasa za shule, huku wakitoa wito kwa serikali kuwapa msaada.
Wakiongea na kundi la wanahabari huko Nakuru, wamemtaka gavana kinuthia mbugua, kutumia fedha alizotangaza kutegwa  kukabiliana na el nino kutatua hali hio. 

 https://soundcloud.com/eyereen-931981221/mafuriko-nakurump3

No comments: