November 5, 2015

WAIGURU HANGATUKI NG`O




By Crane Senteman
Waziri wa ugatuzi na mipango maalum Bi. Ann Waiguru amesema kuwa hatongatuka uadhifa wake kama waziri kutokana na kile anachosema kuwa yeye si mfisadi,lawama hiyo sasa akiwawekea wakuu wa fedha katika sekta hiyo muhimu.Yakijiri hayo mbunge wa nandi hills alfred keterr ameendelea kutafuta sahihi zitakazotosha kumngatua Waiguru kwenye cheo hicho akidai kuwa anapaswa kuondoka na kufuata mkondo wa mawaziri waliotangulia ili ufanyike uchunguzi.

No comments: